Muonekano wa Ndege ya Pili ya Air Tanzania Tayari Kwa Kuja Nyumbani

Huu ndio muonekano wa ndege ya pili ya Air Tanzania tayari kwa kuja huko nyumbani Tanzania. Ndege hii iliyopewa Reg # ya C-FHNF aina ya Dash8-Q400 ipo katika maandalizi ya mwishomwisho kuweza kuletwa Tanzania. Ndege hizi mbili mpya mali ya ATCL zinategemewa kufika Tanzania kati ya September 15 na Sepetember 19 2016.
Share on Google Plus
    Facebook Comment
    Blogger Comment

0 comments:

Post a Comment