Miongoni mwa mastar wa Tanzania wanaofanya Bongo Fleva
ambao wana mashabiki wengi wa kike ni pamoja na Jux & Vanessa Mdee
inawezekana labda aina ya muziki wanaoufanya kuwagusa wasichana wengi.
Sasa mastaa hao wawili wanazimiliki leo October 5, 2016 ambapo wameachia single yao mpya iitwayo Juu iliyotayarishwa na producer Lufa katika studio za Switcher Records.
Unaweza ukabonyeza HAPA kuusikiliza wimbo huo mpya
0 comments:
Post a Comment