VIDEO: Utani wa mchekeshaji Eric Omondi wa Kenya kwa wanaotaka kuwa kama Rais Magufuli

Eric Omondi raia wa Kenya ambaye ni moja kati ya watu waliobarikiwa vipaji vingi ikiwemo uwezo binafsi wa kuchekesha kupitia maneno na mwili wake pia.

Baada ya kufanya ile ya mambo ya kuzingatia kwa wale wanaotaka kuwa kama Diamond Platnumz, Akothee, leo katusogezea nyingine ambayo inamhusu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, John Magufuli. Eric Omondi katuletea mambo muhimu unapaswa kuyazingatia kama unatamani kuwa kama Rais Magufuli
Unaweza kumtazama Omondi kwenye hii video hapa chini…
Share on Google Plus
    Facebook Comment
    Blogger Comment

0 comments:

Post a Comment