Baada ya habari za winga wa klabu ya Azam FC Farid Musa kuendelea kuwa Dar es Salaam kwa vigezo vya kusubiri vibali vipatikane katika klabu ya Tenerife ya Hispania, kumekuwa kuna habari nyingi zikiandikwa kuwa Azam FC hawataki kumuuza na wengine wakisema kuna mtu nje ya Azam FC anajaribu kukwamisha dili hilo, CEO wa Azam FC Saad Kawemba kaamua kulitolea ufafanuzi.
“Suala
la Farid kwanza inasikitisha watu kufikiria kuwa Farid atacheza
Tanzania, mwenye mawazo hayo naomba ayafute, Azam FC tayari tumetoa ITC
ya Farid ipo Tenerife ya Hispania, tatizo ni suala la kibali chake cha
kufanya kazi na kinashughulikiwa na Tenerife, Farid anaenda kucheza
Tenerife kwa mkopo hajauzwa”
duh
ReplyDelete