Leo September 29 2016 wadau mbalimbali wamekutana kwenye majadiliano yaliyofanyika jijini Dar es salaam kujadili kazi ya vyombo vya habari katika kupambana na ndoa za utotoni Tanzania, moja ya waliozungumza ni mtoto Fortunate Ezekiel toka Shinyanga amesimulia namna alivyotoroka ili kukwepa kuozwa……….
>>>’siku moja kabla ya harusi nilikuwa natoka kisimani, watu walikuwa wamealikwa kwenye harusi na kulikuwea na ngoma nikakutana na msamaria mwema akanihifadhi nikalala na kesho yake akanipeleka kwenye shirika la Agape wakanihifadhi mpaka sasa hivi ninasoma nipo kidato cha kwanza’:-Fortunate Ezekiel
0 comments:
Post a Comment