KUFURU! Bondia Floyd Mayweather ni kama ATM Mashine Inayotembea!

Floyd Mayweather ni kama ATM Mashine inayotembea.
Wikiendi hii mwanamasumbwi huyo mstaafu alimmwagia rafiki yake wa muda mrefu Lil Kim zaidi ya dola 9,000 wakati akitumbuiza kwenye tamasha la Bad Boy Family Reunion huko Las Vegas.
Jeuri hiyo ya fedha ya Mayweather haijaishia hapo amepost kipande cha video kwenye mtandao wake wa Instagram kinachoonesha madola akiwa ameyapanga mezani kitendo kinachoonekana kuwatoa udenda baadhi ya watu.
Tazama video hiyo hapo chini.
Share on Google Plus
    Facebook Comment
    Blogger Comment

0 comments:

Post a Comment