“Kwa upande wetu sisi Azam FC kama klabu tumekamilisha kila kitu na ITC tayari tumeshaituma kwenda klabu ya Tenerife ya Hispania, Farid yupo Tanzania bado anasubiria vibali vipatikane lakini kila kitu kipo sawa na Azam FC tumemtoa katika usajili wetu kutokana na kuwa anaondoka”
VIDEO: Kinachochelewesha Farid Musa kwenda kucheza Tenerife ya Hispania!
“Kwa upande wetu sisi Azam FC kama klabu tumekamilisha kila kitu na ITC tayari tumeshaituma kwenda klabu ya Tenerife ya Hispania, Farid yupo Tanzania bado anasubiria vibali vipatikane lakini kila kitu kipo sawa na Azam FC tumemtoa katika usajili wetu kutokana na kuwa anaondoka”
0 comments:
Post a Comment