VIDEO: Kuelekea mechi ya Simba vs Yanga, mashabiki wataja matukio wanayoyakumbuka zaidi!

October 1 2016 uwanja wa Taifa Dar es Salaam mashabiki wa soka wa Afrika Mashariki hususani Tanzania watapata nafasi ya kuangalia mchezo wa watani wa jadi kati ya Simba dhidi ya Yanga, huu huwa ni mchezo wenye historia kubwa katika soka la Tanzania,  Tumeamua kupita mtaani na kuwauliza mashabiki wa timu hizo ni mechi gani wanazozikumbuka zinazohusisha timu hizo.
Share on Google Plus
    Facebook Comment
    Blogger Comment

0 comments:

Post a Comment